top of page

Mashujaa wa Kenya

Updated: Aug 12, 2020

Mlijitolea kupigania uhuru wetu,

bila kutarajia zawadi,

kwa kuonyesha ujasiri,

na kuvumilia mateso,

Ili tuweze kuishi vyema.

Heko kwenu Mashujaa!

twazidi kuwa furahia,

kwa sababu ya historia yenu,

tuna heshima kama nchi,

mlitujengea jina na kutupa kiburi.

Viwango mliviweka juu,

Kweli nyinyi ni wakuu,

wenye busara kwa wingi,

na uwezo wa uongozi,

Kwa vitendo na mienendo.

Twashukuru kila siku,

na kuwakumbuka hii siku,

kwani ahadi zenu mliweka,

ingawa mlivunjwa miyoyo,

hamkuacha kutupigania.

Mlitufunza vyema,

Kwa kuwa mifano njema,

Nasi tunaendelea  na ujenzi,

wa taifa letu la Kenya,

kwa njia mlio tueleza, bila kusita.

Comments


Post: Blog2_Post

Subscribe Form

Thanks for submitting!

0707928526

©2018 by knowolblog. Proudly created with Wix.com

bottom of page